المدة الزمنية 13:17

KAULI YA SERIKALI BUNGENI KUHUSU SHILINGI TRILIONI 1.5

بواسطة Benny Mwaipaja
56 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2018/04/20

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), ametoa ufafanuzi bungeni Mjini Dodoma, kwa niaba ya Serikali, na kuuhakikishia Umma wa Watanzania kwamba shilingi Trilioni 1.5 zinazodaiwa kutoonekana mahali zilipo kwenye ripoti ya CAG, hazijafujwa na kwamba Serikali ya Awamu ya Tano haiwezi kamwe kufanya hivyo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0