المدة الزمنية 3:34

WANAOZUSHIA VIFO VIONGOZI WAONYWA NA SERIKALI, MSIGWA AMUIBUA MZEE MWINYI “YUPO FIT, AMEKIMBIA KM 5

بواسطة Millard Ayo
12 024 مشاهدة
0
43
تم نشره في 2021/06/11

“Serikali haijakaa kimya juu ya wahalifu wanaokashifu, kuzusha uongo na kuleta taharuki katika jamii ikiwemo uzushi wa taarifa za vifo vya viongozi. Wahusika watapatikana na hatua za kisheria zitachukuliwa. Watanzania tulieni na endeleeni kuchapa kazi”——-Msigwa

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 59