المدة الزمنية 3:3

''WATU WA HIFADHI HAKUNA MTU ANARUHUSIWA KUPIGA WANANCHI''—DR MPANGO

بواسطة Millard Ayo
9 654 مشاهدة
0
45
تم نشره في 2021/07/18

Makamu wa Rais ameendelea na ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Kigoma ambapo ametembelea Kasulu pamoja na Kibondo. Akiwa njiani kuelekea Kibondo, Makamu wa Rais amesimama katika maeneo mbalimbali kuwasalimia Wananchi.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 14