Video hii inakupa muongozo wa namna gani unaweza kuingarisha picha yako kwa kutumia Adobe Photoshop. Mfano kuondoa mabaka mabaka usoni, kufuta chunusi n.k
Una swali au maoni Usisite kuacha ujumbe wako katika sehemu ya comments.Ukishare video hii utakuwa umenilipa kitu cha hamani zaidi
Subcribe My Youtube channel.
-~-~~-~~~-~~-~-
Please watch: "Jinsi ya Kutumia Photoshop CS6 kwa mara ya kwanza(Beginners) SEHEMU YA 1"
/watch/QNXod8VmgEBmo
-~-~~-~~~-~~-~-
@witnessmallya5114العام الماضيWao somo zuri sana, Asante sana Rich , ulete zaidi na zaidi ❤
@
@barikimedia201منذ 4 سنواتAhsante kaka kwa kunijenga..yaani nilikuwa zero kabisa..ila kwa sasa niko mbali kiasi
@
@Songeafinest210العام الماضيbro naomb nisaidie jins ya kuchonga shape ya kweny adobe
@
@enoshyalex4771منذ 2 سنواتIyo opshn uliyo tumea kwangu mba haipo bro au adob zina tofautian
@
@LyonWalker_منذ 7 سنواتnow inabid uandae somo juu ya advance makeup and retouch deep ndg
@
@emanuelyjeremia7098قبل 11 أشهرAsante Sana je ni nnjia gani hutumika mfano maharusi kuwavalisha mavazi ya harusi kwa kutumia Photoshop kwakiwa wamepiga picha Kila mmoja kivyake
@djmegatumbotz7892منذ 6 سنواتnoma me ni mmoja wa wanafunzi wako kwa hii video nimekuelewa
@
@nuwfocuspictures6416منذ 7 سنواتHabari kaka tunaomba Maelezo kuhusu kuweka colour Na kun garish a kupitia adobe premier au after effect
@
@siwemarashid1954منذ 7 سنواتkaka una VIP mawasiliano maana daah mala kibao nakucheki
@
@pmctvdsm1157منذ 7 سنواتMimi naomba msaada wa kudizaini cover move nimependa sana uwezo wako Mkubwa sana
@
@methodnishimwe6044منذ 7 سنواتI mean you are speaking two languages and u know that there is some people who don't know english how they can understand u when u are not speaking Swahili only?????
@
@methodnishimwe6044منذ 7 سنواتBro why you don't trust your native langauge?????????????????????????????????????????????????????????????????????????