المدة الزمنية 5:16

Wagonjwa zaidi ya laki 7 watibiwa vituo vipya vya afya

بواسطة Daily News Digital
125 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2020/08/04

#Afya #Jafo #Dodoma Zaidi ya wagonjwa laki 7.5 wamepatiwa matibabu katika vituo vipya vya afya vilivyojengwa kote nchini ambavyo ni Zaidi ya 400 katika kipindi cha miaka 5 ya mhula wa kwanza wa serikali ya awamu ya tano ambapo kati yao wajawazito Zaidi ya laki 2 wamejifungulia katika vituo hivyo huku waliojifungua kwa kufanyiwa upasuaji wakiwa Zaidi ya 18,000.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0