#maajabuyadunia #jewajuamaajabuyadunia
je wajua? miongoni mwa maajabu ya kushangaza dunia ni pamoja na chumba Cha ajabu duniani chenye urefu wa mita 3800 kutoka usawa wa bahari inashangaza maajabu haya yapo huku ufaransa na Kama ukitaka kwenda kutazama maajabu haya basi utatakiwa kulipa tsh 80,000