Jopo la kuwahoji na kuteua wanaotaka kuwa makamishna katika tume ya uchaguzi ya IEBC tayari limeanza kazi baada ya kuapishwa Jumatano wiki hii.
Jopo hilo linaloongozwa na Daktari Elizabeth Muli, kuanzia Jumatatu linatarajiwa kupokea maombi ya kazi kutoka kwa wakenya baada ya kuweka wazi tangazo la kazi kwa wakenya kupitia gazeti rasmi la serikali tarehe moja Mei.
Ripoti yake Alice Diana
Follow us on:
Facebook: https://facebook.com/HopeTVKenya
Twitter: https://twitter.com/HopeTV_KE
Instagram: https://instagram.com/HopeTV_KE