@nyavas41منذ 4 سنواتhongera sana uko vizuri sana na unasauti yakuwa mtangazaji mzuri utafika mbali sana. 4
@
@rashidally1149منذ 4 سنواتHuyu jamaa ni nomaa Mungu amlaze mahali pema Peponi maana yy ni muanzilishi wa vipindi vingi ambavyo mpaka leo vina heat 1) Jambo Tanzania TBC id="hidden2" class="buttons"> 2) mawio Zanzibar radio 3) Tuongee asubuhi zbc Zanzibar 4) Aridhio TBC N.k 2 ....وسعت1
@binurusm8886منذ 4 سنواتHaa !! Jamani huyu kijana tafadhali msimcheleweshe mchukueni hapo TBC ngalau iwe mojawapo ya kumbukukumbu ya Hassan Marin, chondechonde watamuwahi huyu, id="hidden3" class="buttons"> Vituo vya habari vipo vingi sasa hivi, Mungu amuweke pema Hassan Marin, Aamina. ....وسعت5
@
@komboomar8275منذ 4 سنواتHata BBC kunakufaa uko vizuri kijana2
@
@moudyissa6966منذ 4 سنواتUyu jamaa yupo vizuri jamaniii ebu nipeni like 16
@
@maryoswad7022منذ 4 سنواتMpeni kazi anakipaji cha utangazaji daaa 4
@
@rehemamsuya2263منذ 4 سنواتDah umenikumbusha Marin nilikua namkubali sn 4
@
@yudatadeshayo4434منذ 4 سنواتAise huyu ni mwandishi wa habari nguli kabisa anapangilia maneno daaah mpeni ajira 4
@
@hamadshein8272منذ 4 سنواتCo unaiga sauti ya bambo au kingwendu. Tisha sana. 4
@
@tabumussa9406منذ 4 سنواتkijana umeweza sana tunaomba upatiwe ajira tbc. 5
@
@danielmlanda2546منذ 4 سنواتMoja kwa moja binafsi nawaomba tbc mumuajiri huyu kijana 7
@
@dapinitiative2451منذ 4 سنواتHuyo kijana Yuko bomba Sana, Mmmh lkn kwann anataman saut ya Marin wakt yy saut yake ni Zaid ya Marin??.Duh naomba anitafute , TBC Mambo yenu ni Safi Sana, yaan Safi saana, Nawatakia Pasaka Njema!! 8
@
@raymondkaswaga5055منذ 4 سنواتAtakuwa mtu mkubwa sana huyu dogo kwenye tasnia ya habari 5
@
@tabletennis6296منذ 4 سنواتAnatamba mbele ya camera kama mwandishi mkongwe kabisa 3
@
@davydany9648منذ 4 سنواتSauti yako tu yatosha hakika hata sauti yko yafaa kukalia kitu alichokuwa anafanya 2
@
@badenbensoni7516منذ 4 سنواتTujenge utamaduni wa kuwasifu watu wakiwa hai. 10
@
@tabletennis6296منذ 4 سنواتHuyu dogo mbona kama mwandishi ni fundi sana yuko na mvuto mkubwa sana wa habar anajua kucheza na camera kafanya vzr kuliko mwandishi aliemkaribisha 4
@
@alimakame9215منذ 4 سنواتBado kidogo kwasababu Marin sauti yake ilikuwa nzito huyu yake nyembamba 2
@
@richardcharle866منذ 4 سنواتMpeni kazi sasa maana kuna watu wanaitwa wasafi wakimwona tu wanae 6
@
@saloumshusko2798منذ 4 سنواتBado ajaweza labda ajitaidi kufatilia sana hassan marin kwenye clip zake
@
@rashidally1149منذ 4 سنواتHuyu jamaa ni nomaa Mungu amlaze mahali pema Peponi maana yy ni muanzilishi wa vipindi vingi ambavyo mpaka leo vina heat 1) Jambo Tanzania TBC id="hidden5" class="buttons"> 2) mawio Zanzibar radio 3) Tuongee asubuhi zbc Zanzibar 4) Aridhio TBC N.k 2 ....وسعت1
@
@binurusm8886منذ 4 سنواتHaa !! Jamani huyu kijana tafadhali msimcheleweshe mchukueni hapo TBC ngalau iwe mojawapo ya kumbukukumbu ya Hassan Marin, chondechonde watamuwahi huyu, id="hidden6" class="buttons"> Vituo vya habari vipo vingi sasa hivi, Mungu amuweke pema Hassan Marin, Aamina. ....وسعت5
مقاطع الفيديو ذات الصلة على KIJANA ANAYEMUIGIZA SAUTI MARIN HASSAN MARIN ATINGA STUDIO ZA TBC / ATANGAZA HABARI KIMARIN:
1) Jambo Tanzania TBC id="hidden2" class="buttons">
2) mawio Zanzibar radio
3) Tuongee asubuhi zbc Zanzibar
4) Aridhio TBC
N.k
2 ....وسعت 1
Naona studio safi. 7
1) Jambo Tanzania TBC id="hidden5" class="buttons">
2) mawio Zanzibar radio
3) Tuongee asubuhi zbc Zanzibar
4) Aridhio TBC
N.k
2 ....وسعت 1