المدة الزمنية 52:58

Ifahamu Historia ya Marehemu Cpwaa kwenye mahojiano haya ya mwisho

بواسطة Simulizi Na Sauti
23 161 مشاهدة
0
266
تم نشره في 2021/01/17

Ifahamu kwa undani historia ya rapper Ilunga Khalifa aka Cpwaa kwenye mahojiano haya ya mwisho kufanya naye kupitia kipindi cha Chill na Sky. Rapper huyo amefariki dunia Jumapili ya January 17, 2021

الفئة

الكلمات

عرض المزيد

تعليقات - 92
  • @
    @amazing_grace5392منذ 3 سنوات He was so smart Mashallah.May his soul rest in peace
  • @
    @maxmaizer4631منذ 3 سنوات Daaaa nimeingia ndn kulia achen. Moyo umeumia sana cpwaa jembe langu umetangulia nyimbo zako ntabaki nazo daima nass tunafata uko ulipo tangulia 6
  • @
    @omaryomary8750منذ 3 سنوات C pwaa lala salama broo Allah akupunguzie adhabu ya kabri Ameen 3
  • @
    @abuuthan8716منذ 3 سنوات Mungu akusamehe makosa yako akuruzuku pepo jirani yangu wa muda wote Magomeni! 1
  • @
    @ivankivinge2987منذ 3 سنوات Rest in peace bro. Umeacha pengo kubwa sana moyoni mwangu. You lived to entertain us. 7
  • @
    @veronicadaniel1122منذ 3 سنوات Dah mungu amwangazie mwanga wa milele amina
  • @
    @kasongosaid2577قبل 4 أشهر Sky interviw zako zinakuwaga poa sana kaka
  • @
    @jamesngimba4188منذ 3 سنوات Ahaaa R I P irunga kipndi tuko magomeni mikumi kwa mzee pinda so sad mshikaji 4
  • @
    @ashooraashoora1180منذ 3 سنوات Innalilah wainnaillah rajiuun mwenyez Mungu ampe kauli thabiti yarabiy 1
  • @
    @mename6020منذ 3 سنوات Innalillah waina illah rajihuon. Allah amswameh mazambi yake na amrehemu.. 2
  • @
    @robbemanase9051منذ 3 سنوات Dah ina maana his mom kapoteza her only child ,its really sad R.I.P. ILLU 5
  • @
    @latriciah01augustino67منذ 3 سنوات Innah lilah wahnailah rajoun. Allah ampe kauli thabiti 2
  • @
    @peterpaulinuce4316منذ 3 سنوات Pumzika kwa aman brother, mbele yako nyuma ye2 1
  • @
    @mwatumudogo3948منذ 3 سنوات Inna lilahi waina ileih rajiun allah ampokee kwa mkono wake wa Kulia amsamehe dhambi zake za siri na dhahiri inshallah amueke pema palipo na wema amin 5
  • @
    @mutahangarwasamwel4643منذ 3 سنوات Ezi za uhai ulikua atariiiii mungu akuleheem br
  • @
    @samirnaty8774منذ 3 سنوات Bonge la interview bro mungu ampe safar njema kauli thabit
  • @
    @bish_daddiyaoمنذ 3 سنوات EastAfrica Industry Will Miss You Ninjah Mola Akwondolee Mchanga Wa Macho..❤️
  • @
    @mariamkassim9925منذ 3 سنوات Inna lillahi wainna ilayhi raajiun so sad 4
  • @
    @khalekichambo1131منذ 3 سنوات Inna lillahi wa inna ilaiyhi rajiun, laiti tungelijua tarehe ya kifo tusinge panga mambo ya huko mbeleni. Mungu amsamehe makosa yake na alipe mwanga kaburi lake 2
  • @
    @khadijanjama8721منذ 3 سنوات Inna lillahi wainna ilayhi raajiun poleni kwa msiba
  • @
    @azzamahamdu7039منذ 3 سنوات Innahlilah waina ilah rajiun maskn kafa lini hyu kaka
  • @
    @victormwansasu7005منذ 3 سنوات R.I.P. daaah ..Ngoma la Action lilikuwa poa sanaa 2
  • @
    @youngchua697منذ 3 سنوات mauti ni mlango kila mmoja atapita katika mlango huo kwa iyo tujipange kuikabili safari hioooo 17
  • @
    @franciskyombo4289منذ 3 سنوات Cpwaa kuna namna anachezeaga mic inatoa visauti Mana nlimuona tamashani leaders club 2004.Tunakupendana haijalishi upo au haupo.
  • @
    @claudialupimo7614منذ 3 سنوات Sikuwahi kukuona wala kukufahamu enzi za uhai wako. Ila nmeona interview na baadhi yawatu walikupost.. Nimesikitika na Mungu akupokee.. Ni njia yetu sote
  • @
    @aminaathuma3193منذ 3 سنوات R i p sjui ni kwann mnapenda mzik wakat uko vizur shulen 2
  • @
    @abdurabmsuya7291منذ 3 سنوات Du haya maisha anamuombea mwenzake Godzilla leo na yeye tunamuombe pumzika kwa Aman Cpwaa 1
  • @
    @jiangjoseph4378منذ 3 سنوات Du alipanga aende kimamataifa du R.I.cp
  • @
    @shakilamasoud2983منذ 3 سنوات Maisha ni mafupi sana jamani, apumzike kwa amani 2
  • @
    @joeboyhk829منذ 3 سنوات Kwani uwa mna ficha interview alafu mna zitoa mtu akisha fariki?? 4
  • @
    @hammylove1268منذ 3 سنوات Kwann huwa hampost wakiwa hai jmn? Nimeobserv ndio maan nmeongea coz hata marehem mzee jengua mkampost enterview yake baada yakufariki? 4
  • @
    @youngchua697منذ 3 سنوات
    Mpemba wa Mwanzo kufika kwa Ali Samatta
  • @
    @loner_wolfمنذ 3 سنوات Wewe ILUNGA ni jina la kisukuma hilo. Mimi hata bila ww kusema nilishahisi utakuwa msukuma. Uliza Ilunga ni jina la watu gn utaambiwa ni majina ya kisukuma 2