Siku ya leo tumepata Baraka za kupewa ufafanuzi wa hali ya juu kuhusu neno AMFIFIRO (AMPHIPHILE) Ambalo Askofu JOSEPHAT GWAJIMA alilitaja katika moja ya ibada yake na ametufafanulia vizuri sana kwa undani kwa nini Sabuni ina uwezo mkubwa wa kuua virusi ambavyo vinakua vimejishikiza katika mwili wa Binadamu
#Gwajima #WasafiSundayWorship #ChukuaTahadhari