Je mtazamaji, wafu huwa na mvuto upi katika maisha ya siku kwa siku ya wale walio hai? Ni swali linaloulizwa na baadhi ya watu katika kaunti ya bungoma baada ya wenyeji wa kijiji kimoja kufika mahakamani, na kupata idhini ya kuufukua mwili wa mmoja wao, waliyedai kuwa alikuwa akiwasumbua kwenye ndoto. Yadaiwa amekuwa akiomba kuzikwa mahala pengine.
Watch KTN Live http://www.ktnkenya.tv/live
Follow us on http://www.twitter.com/ktnkenya
Like us on http://www.facebook.com/ktnkenya
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 128
@
@theenjeriمنذ 2 سنواتSpirits never die.Thats why we pray to let the body rest in peace 6
@
@nusaibahassan5842منذ 6 سنواتForever You Will Remain In Our Heart's Ahmed Dharwesh 13
@
@leyasalma354منذ 5 سنواتMiss u darweesh mungu ailaze roho yako peponi ameen 9
@
@mercyomukunde9305العام الماضيI miss darwesh .may his heart continue resting in peace
@
@anapaschal5591منذ 2 سنواتMungu ni mwema Hadi maiti zinaongea aisee!!!!!hatari sanaaa 1
@
@sariysariy6293منذ 6 سنوات Darwish we miss may Ur soul rest in peace may Allah grant u Jannahtul firdos Ameen 9
@
@johnmasinde1875منذ 3 سنواتIt's called a familiar spirit. It manifests through a dream using same voice & appearance of the deceased 4
@
@alisaalis9218منذ 7 سنواتDarwesh tulikupenda lkn mungu alikupenda zaidi upumxike kwa amani 10
@
@amaninaupendo.3539منذ 6 سنواتAmen amen. Wapendwa wa Mungu mgeukieni Mungu ndiyo mweza wa yote. 2
@
@alikiba9960منذ 7 سنواتAllah Akujaalie pepo ya juu Ahmed Darwesh amin 2
@
@abdihussein822العام الماضيInnalillahi Wainna Ileyi Rajiuun, may Allah grant you Jannatul Firdaus , Ahmed Dharwesh
@
@margaretnamubi4565قبل 4 أشهرluhyas drama..never end.hesabu ya watu walio muua
@
@gandiwehu5818العام الماضيDarwesh was a legend. Inna Lillahi Wa'Inna Illeyhi Rajyun
@
@peninahgathari4879منذ 5 سنواتlakini Jamani , si hizi gari za polisi hubeba vitu mingi 3
@
@doreenmnyitte4025منذ 4 سنواتYes lazima angefufuliwa kila watu wafwate kimila yao kabisaa 1
@
@manganamanganamanganamanga7313منذ 5 سنواتNinyi niwajinga sana unajua mukihusisha vifo na mambomemgi hamutaishi vzr hapo 2
@
@mamymdogomamy3670منذ 5 سنواتJamani Mila zitaisha lini ndugu yaa Allah tunusuru ss waja wako 4
@
@annestanciamachome4151منذ 5 سنواتDuh! Nimeshangaa sana jaman binadam kufukuliwa
@
@firdausabdullah6315منذ 6 سنواتKenya vituko havitaisha maisha yazidi kupanda 1
@
@mpwapwanewstv8204منذ 5 سنواتMhh hiyo asee Mtu akifa anaweza kufufuka tena bt KWA utamaduni inaeezekana .
@
@bendettamumbua4167منذ 2 سنواتWololo! These are the shaking day's. Yaani maiti inaongea??? Tena roho inaamlisha mwili uzikwe kwingine. .
@
@millicentouma2324منذ 4 سنواتWaluyia Please, know God.The Dead Never come back,but the devil comes in dreams with the Face of that Dead Person . 5
@
@shuebsaleh7037منذ 8 سنواتmay Allah grant you jannatulfirdaus Ahmed darwesh 21
@
@beverlinekilwaye9954منذ 7 سنواتmtu akifa amekufa hayo ni mapepo jameni 16
@
@nelsonmandela4640منذ 2 سنواتMtu aniconect nipate ploti uko siloba!
@
@evederrick6743منذ 2 سنواتAkuna mazinga ubwe apo,,, They spirit of that son is still around why the killed innocent soul
@
@nissispuppies5990منذ 2 سنواتThey accused someone falsely until the murderer confessed 6 yes later. He was killed by Masten Wanjala n ýet someone else is serving a life sentence . Sad
Inna Lillahi Wa'Inna Illeyhi Rajyun