المدة الزمنية 10:1

Yanga Yapata Pigo Zito Sana,GSM..

بواسطة ZeShoot
48 640 مشاهدة
0
115
تم نشره في 2020/06/07

Yanga imepata pigo baada ya kuhusishwa kwa muda mrefu na kupamba kurasa za mbele za magazeti kwa kuwataka Erick Rutanga,Ally Niyonzima na Michael Sarpong ambao sasa wamesajiliwa na timu zingine,wakati Sarpong yeye akisamehewa na viongozi wa Rayon Sports.Hii itawanyong'onyesha mashabiki waliokua na imani kubwa ya wachezaji hao kutua jangwani.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 31