المدة الزمنية 3:30

TASWIRA KIMATAIFA : Shule zafungwa nchini Uganda kutokana na kuongezeka kwa maambukizi ya korona

بواسطة Dalmus Sakali
43 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2021/06/09

Shule Na Taasisi Za Elimu Zimefungwa Kote Nchini Uganda Baada Ya Rais Yoweri Museveni Wa Nchi Hiyo Kupiga Marufuku Mikusanyiko Yote Kwa Kipindi Cha Siku 42 Kutokana Na Ongezeko Kubwa La Maambukizi Ya Virusi Vya Korona. Huko Israel, Kura Ya Imani Bungeni Kwa Serikali Mpya Ya Israeli, Ambayo Inaweza Kumwondoa Madarakani Waziri Mkuu Aliyeko Madarakani Benjamin Netanyahu, Itafanyika Ifikapo Juni 14. Tafadhali SUBSCRIBE kupata uhondo zaidi #Taswira_Kimataifa #YoweriMuseveni #BenjaminNetanyahu

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0