المدة الزمنية 2:46

Waitara achukizwa wizi wa mafuta mradi wa SGR

بواسطة Mwananchi Digital
405 مشاهدة
0
3
تم نشره في 2021/12/25

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amechukizwa na vitendo vya wananchi wanaozunguka eneo la mradi wa ujenzi wa reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Isaka- Mwanza kituo cha Malampaka wilayani Maswa Mkoa wa Simiyu kuiba mafuta ya kuendeshea magari na mitambo ya mkandarasi anayetekeleza ujenzi huo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1