المدة الزمنية 5:50

DOKTA PHILIP MPANGO AWAAHIDI NEEMA WAMACHINGA

بواسطة Benny Mwaipaja
134 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2017/07/14

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amewahakikishia wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga kwamba Serikali itaendelea kuwawekea mazingira mazuri ya kufanyia biashara zao ili waweze kujikwamua kiuchumi.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0