المدة الزمنية 3:15

Magoli | Namungo 1-2 Dodoma Jiji | NBC Premier League

بواسطة Azam TV
40 920 مشاهدة
0
181
تم نشره في 2021/12/22

Timu ya Namungo FC imepata kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliochezwa leo kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi. Magoli ya Dodoma Jiji yamefungwa na Anuary Jabir na Emmanuel Martin wakati goli la Namungo likipachikwa na Bigirimana Blaise.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 16