المدة الزمنية 7:33

Mbunge CHADEMA Alivyotolewa Bungeni Leo I Adai Kudhalilishwa I Asema Watamalizana Nje

بواسطة CLOUDSMEDIA
68 244 مشاهدة
0
283
تم نشره في 2020/06/12

Spika wa Bunge, Job Ndugai amemtoa nje ya Bunge, Mbunge Yosepher Komba, Viti Maalum(CHADEMA) baada ya kutokea mvutano akilalamika kudhalilishwa na Jackline Msongozi Mbunge wa Viti Maalum(CCM). Wakati akichangia, Mbunge Jackline amegusia suala la unyanyasaji wa kingono alioeleza upo CHADEMA akisema Mbunge Yosepher aliwahi kumlalamikia juu ya suala hilo #Bajeti2020 #CloudsDigitalUpdates

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 236