Spika wa Bunge, Job Ndugai amemtoa nje ya Bunge, Mbunge Yosepher Komba, Viti Maalum(CHADEMA) baada ya kutokea mvutano akilalamika kudhalilishwa na Jackline Msongozi Mbunge wa Viti Maalum(CCM). Wakati akichangia, Mbunge Jackline amegusia suala la unyanyasaji wa kingono alioeleza upo CHADEMA akisema Mbunge Yosepher aliwahi kumlalamikia juu ya suala hilo
#Bajeti2020
#CloudsDigitalUpdates