@adammjomba1554منذ 4 سنواتWewe ndungai umesha kua mzee ni wakati wako wa kutenda haki unawadhulumu sana wapinzani hususani wabunge wa chadema hawachangii chochote dk 10 wanazo ongea id="hidden2" class="buttons"> hata DK 3 hazifiki mara miongozo mara Vile mars DK zako zimeisha ,wewe mzee acha dhuluma ,wewe ni binadamu tenda haki kesho kiama ,yuke mdada Dr Tulia ana afadhali sana Na watu wa mbeya wengi wao ni wapole Na wadini , Mimi yuke m Dada Dr Tulia simjui lakini sura yake anaonesha ana dini Na hofu ya Ahlla sio job ndungai yupo mkali Kali sana Na dhuluma kibao kamdhulumu tundulisu hofu yangu mimi amesha kua mzee Sasa atatubu lini ?kwa Ahlla, , ....وسعت
@
@yusrahkeissy9202منذ 4 سنواتMpe ukwel wake hyoooo mh keissy kiboko 2
@novesnuhunathan6105قبل 8 أشهرHuyoo dada untill now n mbungee.kessy yeye aliukosaa
@
@ameknews2315منذ 4 سنواتNdugu zangu wa Tanzania ninaomba katika uchaguzi wa 2020 tunapotaka kuchagua viongozi naomba tuangalie nani atakuwa muwakilishi sahihi kwetu sio tuangalie id="hidden3" class="buttons"> chama iwe Ccm, Chadema,Act,Nccr mageuzi,Ads ila tuangalie nan sahii kwa kuweza kutetea na kuweza kuwasilisha kero zetu katika bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Ahsante ....وسعت4
@
@vitalischarles2714منذ 4 سنواتMh..Raisi funga hili Bunge Maana limepoteza dira. personal matter zinageuzwa ajenda kweliii Mh Ndungai muogope Mungu..unakera Sana brother 3
@solemba595منذ 4 سنواتKwa aina hii ya uwakilishaji, Tutamiss Sana Bunge la Speed and Standards, R.I.P mzee Samueli Sita.
@
@loishiyesamwel1374منذ 4 سنواتHili ni Bunge la nyuma kabla ya uchaguzi, Hapa waliofeli ni kessy mwenyewe au pamoja na Speaker Ndugai.
@
@amotowntz6381منذ 4 سنواتNdugai muogope MUNGU ndugu yangu, Usilewe madaraka kumbuka MUNGU ndio speaker mkuu
@
@khadeejaabdullah7083منذ 4 سنواتYaan mh kessy jamn uchelewi kutoa povu
@
@mathiaszakaria7052منذ 4 سنواتDahhhhh yaani spika Hana double standards kabsa inaonesha anapenda sana wasema ovyo kuliko wasemwa ovyo 1
@
@salimliemba3458منذ 4 سنواتDada kaingia cha kiume chezea kessy kamaliza kila kitu 1
@
@johariismail2646منذ 4 سنواتSPEAKER ANGALIA KAULI HIZI ZINAGHAFIRISHA WATU.. Bunge linatoka kwenye mipaka na Kuwa mipashoo
@
@philiposhilingi954منذ 4 سنواتHahaha jamn mmi ni raia wa nkasi kusini lakin naungana na kesi kwa asimia 50% kwa mabadiliko aliyo yafanya nkas kaskazini kiukwel tunatamani Wana nksi id="hidden4" class="buttons"> ata awe mbunge wa nkasi yote kaskazini na kusin maana kusini hatuna mbuge ....وسعت2
@
@husseinkonz5192منذ 4 سنواتKiboko ya nyumbu wazush ni babu kessy hapendag ujinga 2
@
@leonardmanyanza1058منذ 4 سنواتKuhusu bunge lisiwe live hii ndo maana yake 2
@
@tanzaniayetu6973منذ 4 سنواتDaaah hili bunge lisiende kwa uzalilishaji wanamna hii,wanawake watakosa confidence yakueleza mambo yamsingi,alafu utaona tofauti ya mabunge ya wasomi id="hidden5" class="buttons"> na hawa std7,akili ndogo inaendesha kubwa Katiba ibadilishwe kama huna degree hakuna ubunge ....وسعت
@
@stevenngussa9334قبل 3 أشهرNdio maana hakajarudi bungeni haka kazee, shenxi type
@shabaazbikorwa2580منذ 4 سنواتSpika hauko fair ipo siku utakuja kupata matatizo utakapo toka madarakani usiwi na double standards unapo simamia bunge 4
@
@hajihaji6351منذ 4 سنواتHawa wabunge hawana tena cha kujadili wamalize tu watokee
@
@anuarabdullrahman5993منذ 4 سنواتSema huyu mzee anazingua point zake pumba sometimes
@
@margarethsaramaki3966منذ 4 سنواتHuyu hafai uwa anaongea hovyo kweli hana ustaarabu
@
@peterjohn1969منذ 4 سنواتNdugai chapa kazi usiangalie makelele yawatu wewe angalia hoja niyakweli au la wengine muachie mueshimiwa kesi amalizanenao
@
@peterjohn1969منذ 4 سنواتMueshimiwa kesi safisana ao wamama walioacha waumezao wasikuzoee kwaajili ya ubunge wasikuzoee wakazie makahaba wanataka kushindana wanawanaume
@
@cazoramahussein1998منذ 4 سنواتet nd spika wa bunge yan anafanya kampen hapohapo math**r F**k
@
@adammjomba1554منذ 4 سنواتWewe ndungai umesha kua mzee ni wakati wako wa kutenda haki unawadhulumu sana wapinzani hususani wabunge wa chadema hawachangii chochote dk 10 wanazo ongea id="hidden7" class="buttons"> hata DK 3 hazifiki mara miongozo mara Vile mars DK zako zimeisha ,wewe mzee acha dhuluma ,wewe ni binadamu tenda haki kesho kiama ,yuke mdada Dr Tulia ana afadhali sana Na watu wa mbeya wengi wao ni wapole Na wadini , Mimi yuke m Dada Dr Tulia simjui lakini sura yake anaonesha ana dini Na hofu ya Ahlla sio job ndungai yupo mkali Kali sana Na dhuluma kibao kamdhulumu tundulisu hofu yangu mimi amesha kua mzee Sasa atatubu lini ?kwa Ahlla, , ....وسعت
@
@ameknews2315منذ 4 سنواتNdugu zangu wa Tanzania ninaomba katika uchaguzi wa 2020 tunapotaka kuchagua viongozi naomba tuangalie nani atakuwa muwakilishi sahihi kwetu sio tuangalie id="hidden8" class="buttons"> chama iwe Ccm, Chadema,Act,Nccr mageuzi,Ads ila tuangalie nan sahii kwa kuweza kutetea na kuweza kuwasilisha kero zetu katika bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Ahsante ....وسعت4
@
@philiposhilingi954منذ 4 سنواتHahaha jamn mmi ni raia wa nkasi kusini lakin naungana na kesi kwa asimia 50% kwa mabadiliko aliyo yafanya nkas kaskazini kiukwel tunatamani Wana nksi id="hidden9" class="buttons"> ata awe mbunge wa nkasi yote kaskazini na kusin maana kusini hatuna mbuge ....وسعت2
@
@tanzaniayetu6973منذ 4 سنواتDaaah hili bunge lisiende kwa uzalilishaji wanamna hii,wanawake watakosa confidence yakueleza mambo yamsingi,alafu utaona tofauti ya mabunge ya wasomi id="hidden10" class="buttons"> na hawa std7,akili ndogo inaendesha kubwa Katiba ibadilishwe kama huna degree hakuna ubunge ....وسعت
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MBUNGE ALLY KESSY AMSHAMBULIA MBUNGE MWENZAKE UMEACHANA NA MUME WAKO BAADA YA KUPATA UBUNGE:
Ahsante ....وسعت 4
Hapa waliofeli ni kessy mwenyewe au pamoja na Speaker Ndugai.
Ahsante ....وسعت 4