المدة الزمنية 3:30

RAIS wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi, akizungumza na watendaji wakati wa majumuisho ya ziara zake.

بواسطة Zanzibarleotz
926 مشاهدة
0
3
تم نشره في 2021/07/10

RAIS wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza kwa hisia namna anavyochukizwa na baadhi ya watendaji wa Serikali, wakati wa majumuisho ya ziara zake ndani ya Mkoa mitatu ya Unguja, hafla iliofanyika ukumbi wa Sheik Idrissa Abdulwakili Kikwajuni Jijini Zanzibar.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 2