Nina waasa sana watumishi tuache utapeli kwa kutumia neno Upako maana kwanza neno lenyewe haliko kwenye Biblia, lakini watu wanaanza kutapeli watu kwa kulitumia
neno upako nimeanzisha mimi
#mzeewaupako #chomozatv #breakingnews #milardayo #bbcswahili #ukwelinauwazi