المدة الزمنية 8:25

NEC CCM YAWAPONGEZA RAIS SAMIA NA DKT MWINYI KWA UCHAPAKAZI

بواسطة Richard Mwaikenda
170 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/06/29

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Ukumbi wa NEC wa White House Makao Makuu ya chama hicho jijini Dodoma leo, ambapo ametangaza maazimio ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Ikiwemo kumpongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi kwa utendaji wao mzuri tangu washike madaraka.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0