RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali
Mwinyi ameipongeza Serikali ya Ujerumani kwa utayari wake wa kuendelea
kuiunga mkono Zanzibar katika kuendeleza miradi ya maendeleo iliyopangwa na Serikali ya Awamu ya Nane.
Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo Ikulu Jijini Zanzibar wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Bi Regine Hess.
Katika mazungumzo hayo, Rais Dk. Mwinyi alimueleza Balozi Hess kuwa azma ya Serikali ya Ujerumani ya kuendelea kuisaida Zanzibar katika kuendeleza miradi ya maendeleo itasaidia kwa kiasi kikubwa kuyafikia malengo yaliyowekwa.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176 ...
HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/
DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/
INSTAGRAM;
HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig ...
SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid ...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09