المدة الزمنية 12:54

15 Langoni na Kilonzi

بواسطة MzeeBarwani
13 556 مشاهدة
0
37
تم نشره في 2016/03/12

Bwana Aman Thani anaendelea kuhojiwa na Profesa Ibrahim Noor katika mwaka 2000. Anaeleza shida zaq gereza ya Langoni. Mwezi wa Ramadhani, Kilonzi (mkubwa wa jela) aliwaachia wafungwa kupokea vyakula vikavu kutoka majumbani. Pia Kilonzi aliwapunguzia saa za kazi na kufanya darasa za dini mwezi huo mtukufu.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 8