المدة الزمنية 4:30

IGP SIRRO: KINONDONI YAONGOZA KWA UHALIFU

بواسطة Fullshangwe tv
164 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2021/05/26

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, ameutaja Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni kama kinara wa uhalifu nchini ambapo matukio ya uporaji, uvunjaji wa kutumia nguvu na uporaji kwa kutumia pikipiki yakiwa yameongezeka huku uhalifu mwingine mkubwa wa kutumia silaha za moto ukiwa umeshuka.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0