المدة الزمنية 5:36

Magoli yote Ruvu Shooting walivyoisambaratisha Mwadui 5-1 - (VPL )

بواسطة Azam TV
19 513 مشاهدة
0
99
تم نشره في 2021/04/21

RUVU VS MWADUI: Maafande wa Ruvu Shooting wameibutua Mwadui FC kipigo cha 5-1 katika mchezo wa ligi kuu uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mabatini, Pwani. Magoli kwenye mchezo huu yamefungwa na Edward Charles Manyama, David Richard, Shaban Msalla aliyefunga mawili na Abrahmana Mussa wakati goli la Mwadui likifungwa na Mohamed Hashim. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 19