Binti huyu kutoka maeneo ya Ilala jijini Dar es salaam anamalalamiko yake kuhusu mashoga zake aliokuwa akiishii nao nyumba moja na kuzungumza nao mambo mengi tu.Anasema marafiki hao wamemgeuka na kumwambie yeye mmbea ilihali maneno walikuwa wakiyasema wote,lakini mwisho wa siku baaada ya kugombana walimvizia na kuanza kumshambulia kwa maneno na kumpiga kisa tu umbea.!Msikilize binti mwenyewe akieleea tukio zima lilivyokuwa
#geahhabibu #GeahTv
@niaanthony9588منذ 4 سنواتSijawahi kusikia wanaume wamesutana sijui wanawake tunakwama wapi alafu baadae ohoo wanaume wanazalilisha wanawake wakati ss wenyewe ndo wa kwanza kudhalilishana lo! 39
@
@MsMayna-ih6uqمنذ 4 سنواتUrafiki mwingine sio wa lazima. Hao sio marafiki kama wanakuletea maafa. Marafiki wanatakiwa wakuambie unapokosea na kukurekebisha ili uendelee kujielewa. 6
@
@janetdaniely7945منذ 2 سنواتDaah so sad pole mamy serikari hiingirie kati Ili jambo aki!! 1
@
@khadijaamour7654منذ 4 سنواتKusutana msutane ila sio kuvuana nguo kupigana kuzalilishana pia vijana tafteni kazi mfanye mana mkiwa bzy na kazi hamtakua na muda wa kuzua uongo mtaani 26
@halimaomari7589منذ 4 سنواتHawa wamama wa uswahilini wengi hawana kazi za kufanya ndio maana wanafanya vituko hivi 16
@
@evaristmropeمنذ 4 سنواتDaaah ila wamekosea kujichukulia sheria mkononi je angepigwa na kufa??? Matatizo mengine huwa tunajitakia wenyewe 36
@
@user-sh5wo9dc4tمنذ 4 سنواتsubhana Allah; mungu atusamehee kwakweli maana unavyomfanyia mwenzako ujue nawe utafinyiwa na kama sio ww basi ndugu zako au wanao; mwenzio akikosea mwite mwambie na sio kumzalilisha 12
@
@asiaabdala88منذ 4 سنواتPole dada wenyewe wamekushusha mungu atakukweza, dunia ningumu 2
@
@isunga1964منذ 4 سنواتMmmh wanawake jamani ndoo maana marafiki wangu wengi ni wanaume mpaka baba alikuwa anakasirika jamni 6
@
@zhmzzz9061منذ 4 سنواتSubhanaAllah, hawana haya looooh, mwezi mtukufu mwenzenu kafunga mnampiga na kumdhalilisha mtaani hivo loooo, kaa nao mbali hao sio shoga wazuri, Sheria ichukuliwe mkondo wake
@camillacaroline8996منذ 4 سنواتWanawake sijui tunakwana wapi, mnamdhalilisha mwanamke mwenzenu as if nyinyi ni wakamilifu, pole Sana dada Mungu atakulipia.
@
@bibiemohd3847منذ 4 سنواتHamna kazi za kufanya mkae majumbani mwenu ,vibaraza sio vizuri. 1
@
@bintiiddy7043منذ 4 سنواتDuh Ndio maana spend Kuwa na marafiki wasio jitambuwa 5
@
@user-eg1dr6so4cمنذ 4 سنواتMm ndomaana sitaki ushoga Shoga yangu Mkubwa ni Facebook 16
@
@asiakilea2590منذ 4 سنواتHawajamtendea haki kabisaaa wote wambea wamemuonea tuu 14
@
@julianayesayamwailolo8240منذ 4 سنواتNamshkuru Mungu mm shoga angu kipenzi mdogo wangu wa tumbo mojaa. Tunasogoaa weeee yanaisha hapo 3
@
@manalalamry8285منذ 4 سنواتImeniuma jaman kumchania mpk nguo alf kumchukuwa video 11
@
@nathalieswedy3653منذ 4 سنواتWanawake sjui tunakwama wap mana apo wanaonyesha wanawivu pia wa maisha dah ndomn sna shoga 3
@
@arafakiloli749منذ 4 سنواتPole sana mpendwa. sijui kama nitakua na shoga.
@
@africandarling6925منذ 4 سنواتMmhhh waje kwangu waone mbwa Hao kweli mmemuonea kwa kuwa mnyonge dooo mtu hanitie kofi pwaaa mmhh Aisseh 9
@
@sharifaabdullah6825منذ 4 سنواتFear habibu VIP ile ishu yayule mama anaumwa miguu alietelekezwa na mume wake tupe muendelezo dear nakukubali ❤❤ 6
@
@nyembogwazibaka8655منذ 4 سنوات@Evarist mrope kwakweli c vizuri tena alifunga
@
@namisgiggah1571منذ 4 سنواتNdio maana Hawa viumbe watakua wengi motoni, yaan mambo ya peke yao hapa duniani 8
@
@namsamson3443منذ 4 سنواتWatu siku hizi wanapenda kujichulia maamuzi mikononi mwao..inabidi wachukuliwe hatua kali liwe fundisho kwa wengine. 2
@
@miriam5735منذ 4 سنوات@wanawake live mmeona tukio hili iko wapi haki yake na wamechukuliwa hatua gani? imekuwa kawaida kwa wanawake kudharirishana namna hii, ukweli mm siku id="hidden6" class="buttons"> nikitanyiwa hivi nitaua mmoja hali mwingine pumbavu, kila siku watu wananyanyasika kwa sababu sheria hakuna tanzania ....وسعت15
@
@lantaleonard289منذ 4 سنواتMuangalie namakundi yacyo faa co vizuri
@
@salmafikirini4899منذ 4 سنواتKwanza pole sana dada, na hakuna mtu asie mbea duniani, ila usikubali hakikisha unapata haki yako 1
@
@mozasaid3869منذ 4 سنواتDah! Sijawapenda mlofanya kitendo hicho! Wenzenu wanapambana na maisha nyie mnagangaika na ujinga km huo!, Wanawake wanafanya maendeleo nyie huko mnahadhiriana! Acheni ujinga! Muogopeni mwenyezi mungu! 1
@
@tamimakhalfanikhani8403منذ 2 سنواتlaki tano kidogo dada angwambia million moja
@
@mohamedzaina8585منذ 4 سنواتYaan ukishaona wadada/wamam wako zaid ya wawil et ni marafik hapo kuna kua hmna urfk ila ni unafki tu.kwanza mnapat wapi muda wa kujichanagnya na watu kiasi iko.acha yawakute yakuwakuta na ujinga wenu. 1
@
@omanmuttrah4132منذ 4 سنواتHivi mumpige hamekwenda polisi kuashitaki hili mumtibie mazaa kusema anataka pesa yakunilia kitandaa mlivyompiga mlitegema nini 1
@
@alsam4881منذ 4 سنواتKuishi uswahilini ni kazi sana na inataka moyo, Na elimu ya mjinga ni majungu.
@
@elizakileo9125منذ 4 سنواتMmh kazi kweli kuwa na marafiki wengi wasiojitambua ndio tatizo
@
@nadrahassan5241منذ 4 سنواتDada pole sana ningelikuwepo Wallahi wange ongea na ngum
@
@bbb6nnn561منذ 4 سنواتNawew latifa mwanangu ume zubaaa mbona tifa wangu moto wana kushinda kina tatu sisi wallah wakorofi sana pole mtt wangu
@munaahmed8499منذ 3 سنواتNm shoga yng mwanaume wang na dada yng mama sina alishatangulia lkn angekuwepo maa ndio eafiki kwakweli
@
@hawamvimba9514منذ 4 سنواتHata km alisema c aliwaomba msamaha kwann waliamua kulzalilisha jamn yan wanawake wa hvy wachukuliwe sheria wafungwe tuu hao washenzi 2
@
@subiramohd1895منذ 4 سنواتHee bongo mmezidi jamaani watu kudhalilishana tuuu dar jamani watu punguzenii sisi masikini ndo tunashida matajiri aaka wanatafuta pesa sisii kusutana tumkumbuke mungu jamanii 3
@
@mligosandrah7851منذ 4 سنواتSheria ichukue mkondo wake kama.Kwa Dada wa.Moshi 3
@
@hadija846منذ 4 سنواتunamuhoji vipi umemsaidiaje dada wa watu? pole sana ndugu Yaani haya mambo yanakera sana pumbavu zao hao machangudowa
@
@hellenmanzi4740منذ 4 سنواتUzeni hata miogo nyie achen ushoga uyoga 2
@
@subirapowerpower8266منذ 4 سنواتDaaaah hivi Kuna ulazima wakuwa na mashoga
@
@rechombaga5872منذ 4 سنواتMmh napigwaje kwanza nawanawake wenzangu Yani ni wangejuta pole dada walikuona mnyonge 2
@rogermwanawahunda884منذ 4 سنواتNenda nao mahakani ukawafunge hao Kama wanakutanhazia unashida ya hela 1
@
@ameenasur656منذ 4 سنواتYan sis wanawake hatupendan siwez kumzalilisha mwanamke mwenzangu maana alivyo yeye ndio mimi nilivyo bola mngemsuta tu nasio kumvua nguo 1
@
@rinaalbaloushi2981منذ 4 سنواتPole sana mie maisha yangu sina shoga wala simtaki shoga
Shoga angu Instagram 62
Shoga yangu Mkubwa ni Facebook 16