Ni mahojiano ya ana kwa ana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez ambaye ameeleza kwa kina mipango, malengo na ndoto kubwa alizonazo kuipelekea Simba 'next level' (viwango vya juu) .
Hapa anazungumza na Philip Cyprian na miongoni mwa mambo aliyoweka wazi ni kuhusu mchakato wa mabadiliko, usajili, mipango ya kufanya vizuri kimataifa pamoja na matarajio yake kuelekea mechi ya watani wa jadi, Simba vs Yanga Mei 8, 2021.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
@ckanjason7675منذ 3 سنواتYes Barbara.you're a real Simba suporter,leader,fun,organizer.wooow! Im really apreciating yo views mydear sister. Yo'so smart Barbara. This is Simba the next level! 1
@
@solomonmassangya8187منذ 3 سنواتTunakupenda CEO wetu uko vizuri unasifa zote
@
@rehemabakali494منذ 3 سنواتDada km dada maashaallah Allah akusimamie ktk kila hatua yko ila umependeza na ulivyojistiri umebadilika 4
@
@andulilemwakihabha2048منذ 3 سنواتNakukubali Sana sister Barbara wew ni mchapa kazi mtu wa kazi Simba nguvu moja ❤️ 5
@
@isayastephan2026منذ 3 سنواتHongera sana CEO wetu Mungu akupiganie 2
@
@silivanatemu3090منذ 3 سنواتHongera Sana madame,upo vzr sana,Mungu akujaalie na pia azidi kuijalia SSC 4
@
@waziribori2280منذ 3 سنواتWanasimba tumepata kiongozi mwenye weledi wa uongozi kiujumla kisoka, kibishara kwa modern ya soka ya sasa hivi big up ceo wetu wengi tunakukubali sana 2
@
@hayramswalehe4976منذ 3 سنواتUmependeza mrembo uko tofaut xana,xhungi umefunga vizury xana washa moto me nakupenda sana kwakua hauna asil ya dharau 1
@NR-ll4srمنذ 3 سنواتNice interview,,,Bab u know how to talk 1
@
@kelvin8324منذ 3 سنواتThis is what i call cool interview.beauty n brains .All Africa giant magazines should meet madam C.E.O. ME:wakenya munasemaje? Kenyans:madam C.E.O ni mkenya♂️ 1
@
@tanzaniatouristsattraction1622منذ 3 سنواتHawa ndo watu wa kusikikiza sio.kina lulu diva 2
@
@rwangakugwabirakarl88منذ 3 سنواتTu es vraiment jolie# Barbara Gonzalez
@
@abdulmalickupete9015منذ 3 سنواتEndelea kujistiri unapendeza na niheshima kwa kwako na simba sc 3
@
@abbyadams8691منذ 3 سنواتMi ni mwananchi damu ila huyu dada namkubali kwa kweli, kichwaaa sana. 2
@
@ayoublupande3987منذ 3 سنواتUmependeza San ushungi CIO wetu tunakupenda 1
@
@davidicjunior8969منذ 3 سنواتHongera sana mungu akuzidishie utashi katika Maisha yako na uongoz wako katika timu big up Madame 6
@
@geofreysenka7091منذ 3 سنواتMwashi kitoko ya Simba arobi makambo ya bien Toujour makambo Madam Gonzalez ZAMBE pesa lupemba
@
@azizhamed6201منذ 3 سنواتMashallah dada wewe mzuri na umependeza kweli ulivyo vaa hijab yaani muislam kamil badil dini basi nikuowe 1
@
@yussuframadhan7955منذ 3 سنواتIlike barbra the way of talk and answer question she confident keep it up 3
@
@annasamo7063منذ 3 سنواتMaswali yako ni ya kisomi wote nawaelewa kila LA heri simba
@
@mzahaمنذ 3 سنواتEti kuna wahuni wanasema babra sio mtu wa mpira watuache kidogo 1
@
@petermaeja502منذ 3 سنواتMtangazaji umeshindwa kuuteka wigo wote wa Madam, she is so smart nahisi ungeandaa maswal mazur zaidi angetoa elimu nzuri sana 5
@
@mussamussa952منذ 3 سنواتWewe dada unapendeza sana ukiwa umevaa ushungi kuliko ukiwa wazi. Utanisamehe bure binafsi nakuona mpya sana na nakupenda kwa ajili ya ALLAH unapokua umejistiri id="hidden5" class="buttons"> kama hivo. Hongera sana na mungu akupe imani ya kuvaa hivo muda wote. Ufate modality ya mama yetu RAIS SAMIA. ....وسعت2
@
@mckobatz5861منذ 3 سنواتHuyu mchumba ana akili kubwa sanaaaaa.
@
@AbdillahSOthmanمنذ 3 سنواتMwanamke ni stara, lau wangejua kuwa uzuri wa mwanamke ni kujifunika asionekane mwili wake na thamani yake ilivyo basi wanawake wangelikataa kujiachia na kuonekana na kila mtu.
@
@saidsalum6101منذ 3 سنواتBarbra nimependa sana majibu yako dada yameenda shule siyo wakukurupuka hasa ulivyo malizia kwawatani upo vizuli sana mama 3
@
@mussamussa952منذ 3 سنواتWewe dada unapendeza sana ukiwa umevaa ushungi kuliko ukiwa wazi. Utanisamehe bure binafsi nakuona mpya sana na nakupenda kwa ajili ya ALLAH unapokua umejistiri id="hidden10" class="buttons"> kama hivo. Hongera sana na mungu akupe imani ya kuvaa hivo muda wote. Ufate modality ya mama yetu RAIS SAMIA. ....وسعت2
مقاطع الفيديو ذات الصلة على 1ON1 na Barbara Gonzalez | Mipango, mikakati, malengo na ndoto kubwa za Simba SC (Exclusive):
ME:wakenya munasemaje?
Kenyans:madam C.E.O ni mkenya♂️ 1
....وسعت 2
....وسعت 2