المدة الزمنية 3:20

SERIKALI IMETOA LITA 17,520 ZA DAWA ZA RUZUKU ZA KUOGESHEA MIFUGO

158 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/12/23

Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza kutekeleza zoezi la ugawaji dawa za kuogeshea mifugo hapa nchini kwa lengo la kuikinga mifugo dhidi ya magonjwa yaenezwayo na kupe na ndorobo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0