MZEE wa UPAKO ATEMA CHECHE, CHANJO ya CORONA - "MAGUFULI HAKUPINGA CHANJO"
MCHUNGAJI Anthony Lusekelo, amekuwa miongoni mwa waalikwa walioshuhudia uzinduzi wa chanjo ikulu jijini Dar es saalam na alipopata fursa ya kuongoza sala ametumia fursa hiyo kuwasihi Watanzania kutoiogopa chanjo na kusema nia ya serikali ni nzuri...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY: http://shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@jifunzekuhusuwewe7475منذ 3 سنواتUmeongea Point sana Askofu, Hao wengine wanaleta siasa uchuro tuu.atleast wangediscuss hizo chanjo kwa view ya uhalisia wake, manufaa yake na ulazima id="hidden1" class="buttons"> wake.na je ni kweli ni chanjo inayofaa? Kwa kuangalia nchi ambazo wameshachanja , na kwa kuangalia mda uliotumika kuandaa chanjo na kuithibitisha kwamba inafaa kama kweli ni mda utoshao kwa hayo yote hapo sawa sio siasa siasa, Ila Umeongea fact sana , Waobwabwaja bwabwaja hawana elimu na masuala ya Afya wanalishwa maneno, Mungu atusaidie Ila Chanjo ni Muhimu, sasa watutoe kafara ili iweje kwa sababu gani, Watanzania Wengi hatuna Elimu ya Kujitegemea hata wavivu kufikiri, ....وسعت
@
@linamacha7686منذ 3 سنواتGwajima tupo nyuma yako mtumish wa Mungu 4
@
@JehadAlzadjaliمنذ 3 سنواتAtutakiiiiiiiii chanjooo chanjeni familia zenu mmemgeuka baba magu kweli 5
@
@nickodemsimchimba594منذ 3 سنواتDaaa kweli usimwamini Mwanadam huyu nae katugeuka watanzania?????BISHOP GWAJIMA tupo na wew Baba 15
@
@marykanute6127منذ 3 سنواتYesu Kristo!! mbona haya ya usaliti yamekuja mapema?. Au ndo muda wake? Naomba uniongezee Imani iliyo thabiti Baba nisimame nawe mpaka mwisho.Kweli ulisema id="hidden2" class="buttons"> tuonapo haya tuinue vichwa vyetu tukutazame wewe tuuu nakutazama wewe tuuu Baba Wa mbinguni.Chakutumaini sina iladamuyakoBwana ....وسعت
@rahabumwangoka6803منذ 3 سنواتMungu anaangalia mwisho usipotelee mwisho anton
@
@eliyajeremia1447منذ 3 سنواتHili nalo limegeuka jamani hii hatali sasa kigeugeu umegeuka ulisema Mutawala asiemujua Yusuphu nawewe muhubili asie mujua yusufu toka umehongwa kibara id="hidden3" class="buttons"> ww ngwajima Asikofu usigeuke wenye Imani tukowengi kama shedraka meshaki naebinego ....وسعت4
@
@josephatmathayo2355منذ 3 سنواتKumywa sumu kwa kujua Ni sumu, uone Kama hautokufa wewe. Hata Yesu hakutaka kumjaribu Mungu kwa kumtii shetani. Acha utani kwa maswala sirias 2
@
@passmarkinvecoltd3660منذ 3 سنواتUmemsahau Mungu Ama kweli shetani ametuvamia nya kutosha. Hatuna wa kutusemea Mungu tuvushe kwenye joka hili 2
@raymonddarwingsofia3484منذ 3 سنواتEt nae kamsahau Mungu anaemtumia anasalimu watu kwa jina la jamhuri ya Tz, badala ya kusalimu watanzania kwa jina la Yesu kristo, mh hakika umefika muda id="hidden4" class="buttons"> wa kuwaibua wajiitao watumishi wa Mungu feki na wale walio sahihi kwa Mungu wa Kweli. ....وسعت
@
@sharifumohammed779منذ 3 سنواتAwap!!!!!!!!!! Kwanguhiyopointi sjailewa mzeee wa upako 1
@
@reubenedward4946منذ 3 سنواتMzee umefel sana nilikua nakuaminsana duuh 1
@
@brunomirambi8792منذ 3 سنواتWATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA 8
@
@shaddybmc8342منذ 3 سنواتGWAJIMA NDIO MSEMA KWELI. ANGEKUJA GWAJIMA HAPO 1
@
@joshuason557منذ 3 سنواتWabongo muko na Imani Kali ??Mmmhhh Yani chanjo hamutaki kabsa ⁉️ 7
@
@stevensosipita2851منذ 3 سنواتGWAJIMA MTU WA MUNGU TUTAKUFA WOTE HATUTATUPA MSALABA MPAKA GOLIGOTHA YESU ANARUDI WAPENDWA WAMUNGU NIWAKATI SASA WAKUPAZA SAUTI MPAKA MBINGU ZISIKIE HAKIKA id="hidden5" class="buttons"> TUTASHINDA KWA DAMU YAMWANAKONDOO ALIYEHAI MILELE NA MILELE YEYE YULE JANA NA LEO amina ....وسعت
@
@ilovejesus666منذ 3 سنواتWewe kama mzee wa upako muombe uyo mungu wako aondoe corona ko wew apo unatusibitishia kua chanjo inanguvu zaidi ya mungu wako 5
@
@kabogeof9597منذ 3 سنواتTukichanjwa hatutaambukizwa? Na barakoa hatutavaa?
@
@elishakayagwa9371منذ 3 سنواتKakobe na hili jambazi et mzee wa upako ni wasanii tu ila ninamshkru Mungu amewaweka wazi. Anguko lenu ni baya sana wwmsaliti
@
@geraldleger5793منذ 3 سنواتWatumishi wa Mungu na wa shetani tutawaelewa tu nyakati hizi za mwisho.
@
@joshuamsimbe904منذ 3 سنواتSumu haionjwi anayo kutete Mungu sio yakufanya kusudi ,usimjaribu Bwana Mungu wako,
@
@zawadijuma5112منذ 3 سنواتKwaiyo kama nimhubiri wazamani inatusaidia nn acha kutudanganya
@
@allengodlove2628منذ 3 سنواتunatupanga tuchanjwe eti kwa kusema tukila vya kufisha kwa bahati mbaya havita tuzuru. hakuna bahati mbaya hapo. kama TZ inamungu ni kwa nn Usiwashauri waTZ wamtegemee mungu.
@
@beaugosseadam6831منذ 3 سنواتKIFO CHA HAYATI SHUJAA JPM KIMEDHIHILISHA NAMNA WATANZANIA WALIVYO. OGOPA MTU MNAFIKI KULIKO MTU MUUAJI. MAANA MNAFIKI NI MTU MBAYA SANA KULIKO MUUAJI. id="hidden7" class="buttons"> UKIONA MCHUNGAJI, ASKOFU, SHEIKH AU KIONGOZI WA SERIKALI ANAGEUKA BILA KUHOJI AU ILE AUTOCRITICS HUO MUOGOPE. ....وسعت8
@
@ilovejesus666منذ 3 سنواتety hata mkila vya kufisha hamtakufa kale sumu sasa 3
@
@shaddybmc8342منذ 3 سنواتUJASIR WA MTUMISH WA MUNGU NI KUSEMA KWELI. KAMA WAKINA DANIEL , SHEDRACK ,MESHAKI, NA ABEDNEGO. WALE NDO WALISIMAMA KWEL . LEO TUNAOGOPA SANA JAMAN MWEEE 1
@
@thelatestvideos6266منذ 3 سنواتthe fact that ememention mennonite nipo na wewe ✌️❤️
@
@kingbuddah6372منذ 3 سنواتHunachakufanya mbona kipindi cha jpm corona Amna nyinyi wote c mlikuwepo
@
@basilisamsaka8469منذ 3 سنواتMmmmmmmmh woga wa maisha,huyu baba abaunga mkono haya!
@
@johnvascogodfrey7070منذ 3 سنواتDuuu hatari Hadi mzee wa upako kasaliti
@
@rosemaryhassani570منذ 3 سنواتUkila sumu kwa makusudi unakufa, Mungu anamsaidia yule anakula sumu bila kujua.
@
@alinewast6240منذ 3 سنواتPraise God we are in Uganda , I'm no longer follow Ur preaching on Azam TV do you still be there,on which Chanel should I follow you please
@
@jobamampuya5933منذ 3 سنواتpesa ,, PESA TAMU WEWE asikwambie mtu, Dollar Midollari hiyo.. lazima uipende .. One year of free Old wine meeeen.. 3
@jobamampuya5933منذ 3 سنواتhivi ndo wewe Mzee wa upako.. Dollar ni bora kuliko maisha ya watu kwa uweza una- quote na maandiko, lakin si ajabu maana aliaanza devil mwenyewe 4
@
@ezekielkandonga9238منذ 3 سنواتMwaka huu tutajua tu Watumishi Wa Kweli na Wachumia Tumbo,Yangu Macho tu.Yaani Watumishi Mnawaaminishi Watu kupiga Chanjo Kuliko kumtegea Mungu???,Maisha ya mtu hayajaribiwi wambieni Watu Ukweli na si Vinginevyo?
@
@fredymwashiwawa6638منذ 3 سنواتMzee wa upako .acha kujipendekeza Kwa wanadamu utaitwa mnafiki Kwa waliokuheshimu . 1
@
@happynesssamwel2917منذ 3 سنواتCha ajabu na wewe leo umekaribishwa hapo lol pesa ilimsaliti Yesu ndo naona hahahaaaaa adi wewe lol 4
@
@stevensosipita2851منذ 3 سنواتMIMI NA FAMILIA YANGU ANDAENI BUNDUKI ZILIZOJAA RISASI MAANA UKOO MKUBWA SANA UNAOMTEGEMEA MUNGU SIKU ZOTE ZA MAISHA YETU HATUTACHANJA HATA MMOJA MKISEMA id="hidden10" class="buttons"> SHULE MTOTO AWE NA KADI YACHANJO YAMZAZI BASI WATOTO WATAACHA SHULE WATAENDA KUCHUNGA NG'OMBE HAKUNA NOMA.SISI TUNAIMANI NA MUNGU SIYO KIUMBE WAMUNGU KAMA NYIE WACHUNGAJI MSIYOKUWA NA IMANI. ....وسعت
@
@geraldleger5793منذ 3 سنواتKanywe sumu sasa uone Kama hutakufa ! Unajipendekeza ndioo.
@
@reganshaoمنذ 3 سنواتHahahahaaha kwahiyo hii tunachanjwa kwa bahati mbaya? Acha kupotosha
@ilovejesus666منذ 3 سنواتChanjo feki dini yako pia feki ata wew ni feki pia 2
@
@barnabasmajige8473منذ 3 سنواتlusekole mbona hauna msaimamo na Mungu acha kuwa Mpumbavu wa kujipendekenza kwa Rais ambea na yy sio kila kitu ktk maisha ya Mwanadamu.
@floragordian7927منذ 3 سنواتAnaomba utafikiri anazika nchi. Hapa anawaza Sana hiyo chanjo anayoenda kupata, inakuwaje. Pesa ni mbaya kwakweli..
@
@barnabasmajige8473منذ 3 سنواتAcha kujipendekenza ww kumbe ni chizi hauna haya.
@
@NadiaNadia-gb7zsمنذ 3 سنواتhuyu mzee ana raana sisi watanzania kwa pamoja hatutaki chanjo tutakufa kwa amry ya mwenyezi MUNGU
@
@danielmarahu4629منذ 3 سنواتAtawe umeshindwa kuomba Mungu koronaiondoke Tanzania mzee waupako nilikuanina ila sasa kwangu nakuona kama upo frimason una Mungu mahana muda alipo kua id="hidden11" class="buttons"> ai joon ukimsifia kumbe unafata upepo wewe nakuona kama bendera wana waisraeli wanaangalia musa alimuuliza Mungu je wewe umeshindwa kumuuliza Mungu? mungu aise sasa kwanini ulisema ukiona chanjo imekuja utajua ohoooooo ujue kainuka farao mbonanatena ukasema watuurumie kwaiko io ndoile uruma ? Mungu akusaidie nakukusame pole sana Mungu amsaidie ngwajima pamba usipapase macho ....وسعت
@deusinkayamba3676منذ 3 سنواتAma kweli na wewe ni Kibalaka wa Wazungu boya wewe
@
@emmanuelowiti8217منذ 3 سنواتImefika wakati wa kuangalia juu tu,na sio hawa wanadamu.kwani nyie wachungaji mbona mnabadilika kama vinyonga hivyo.wakati huu ni wa ufunuo 6:5-6.farasi id="hidden13" class="buttons"> mweusi ameinuka juu ya uso wa dunia,watu wanapimwa imani.adui yako,hawezi hata siku moja kukupenda kiasi hicho mnachosema,ila msitumie nguvu namna hiyo. ....وسعت
@
@ramadhanitangani861منذ 3 سنواتNa wewe naye unamsaliti mungu kweli mla rushwa wewe magufull alikataa kabisa chanjo we muongo unataka cheo serikalini???
@
@kingbuddah6372منذ 3 سنواتMweshimiwa raisi Maraya wa MABEBERU anataka kuwamaliza Watanzania kwa Kuferi shule
@
@brunomirambi8792منذ 3 سنواتRUDIA FUNGU HILO. HATA TUKILA VYA KUFISHA KWA BAHATI MBAYA HAMTAKUFA SASA WATANZANIA TUNAKULA NA TUNACHANJA MAKUSUDI KWA KUJUA KABISA SASA HIYO BAHATI MBAYA MBONA UNARUKA HUIZUNGUMZIII BAHATI MBAYA??? 2
Ama kweli shetani ametuvamia nya kutosha.
Hatuna wa kutusemea Mungu tuvushe kwenye joka hili 2
Mchumia tumbo ww
Hapa anawaza Sana hiyo chanjo anayoenda kupata, inakuwaje.
Pesa ni mbaya kwakweli..