SIKU ya jana Amber Lulu na mpenzi wake Davil wamevalishana tena pete ya ya kwa madai ya Update penzi lao na ndoa ya kwa ujumla kwani wamepitia misukosuko mingi.
@thabitnasibu1436منذ 4 سنواتIla msiwabeze sana jamani wakati mwingine waombeeni dua wafike mbali! 23
@
@MrAmuhindeمنذ 4 سنواتI love it , mungu awabariki mdumu na ndowa yenu 3
@
@agnesmwita2474منذ 4 سنواتTz ukifa kwa stress Basi umeamua mwenyew 89
@
@brandinakizito3541منذ 4 سنواتNani alieona sugu za Devi kwenye mikono 6
@
@maimunamwaren5885منذ 4 سنواتYan nilikua nahasira leo mawazo lkn dah we mpiga picha mungu anakuona 1
@
@rukiamwakinyo5324منذ 4 سنواتMwenyez Mungu nakuomba unipe miaka mingi ya kuishi hapa duniani HAPPY FATHER'S DAY TO ME 1
@
@mwanahalimamwachili9679منذ 4 سنوات Mchicha Ulianza Kama M,buyu,Mabrooq Hongereni Vyenye Mlipatana Mkiwa 2,Mkikosana Pia Mfunge Midomo Yenu.Kila la kheri. 4
@
@zuhuramsuya6874منذ 4 سنواتKweli nimecheka mpaka rah yani mume niondolea hasira Mana kunamtu aliniboa Atari 3
@
@wilsonrobby4364منذ 4 سنواتHawa watakua Na mapungufu Ya Akili Akyamungu Koti km La mjomba Nishai 24
@
@zubedasima1864منذ 4 سنواتMmmmh mungu awasaidie mana kama si akili zenu sijui mnakwama wapi
@remikimola9557منذ 4 سنواتMmh ndoa nitakatifu lakn watu wamegeuza nimchezo wakuugiza
@
@tushdon9726منذ 4 سنواتBwana harusi mbona kama teja vile?.
@
@babymansouth1164منذ 4 سنواتMmesikia Mchicha Unaanza kama Mbuyu Ambaaa vitukooo Mungu awabariki sana Mkifa MZIKANE WALLAH MSIACHANEEE K ABISAA RAHA JIPE MWENYEWEE KWELI NYIE MNAJUA KUJIPA RAHAA 8
@
@khamoshmikidadi9262منذ 4 سنواتKoti km limetundikwa kwny henga kha n iyo ndoa wamejifungisha wenyewe hawa hawajaozeshwa n mt 1
@
@bimumaulid1171منذ 4 سنواتsasa hivi fanyeni biashara acheni kufirana hadharani 1
@
@rukiamsomi6869منذ 4 سنواتHi jamani hii ndoa ya ngapi nyinyi si mlisha owana ila uyo bhana hajapendeza
@
@ollgfgv9872منذ 4 سنواتku update ndoa wangapi washawahi ku update ndoa zao nani kaiona pete ya buza 1
@
@joslinchuwa1298منذ 4 سنواتYaaani cna Mbavu nimecheka mpaka nimelia jamani mungu nisameheee
@
@happysalva9480منذ 4 سنواتJamani yaaani Mimi hawa uwaga siwaelewi Maybe ndo wame okoka ivo 2
@
@dalianakerefu490منذ 4 سنواتHiii move inaitwaje jamani ila mtangazaji huendi mbinguni eti koti la jeje
@
@kessynurutajiri4940منذ 4 سنواتMmmh!!!!. Hamna la maana. Mlivyopeleka Polisi mlikuwa hamuhitajiani? Hamna cha maana hapo. Pete mbele ya Waandishi wa Habari? Kwio. 4
@
@fridahkabiritho2165منذ 4 سنواتKwani mtangazi anatangaza mpira mbn cjakuelewa mm
@
@dottnatt7110منذ 4 سنواتKiki hizi Jamenii.haya tunashukuru kwa kututoa stress 3
@
@kimmenelus7835منذ 4 سنواتYaani cjui hata BWANA HARUS ANAKUNYWA NINI HAPO Nawatakia ndoa njema 8
@
@khadijaodumo415منذ 4 سنواتNimekwama hapo kwa koti na long'i ya jejemtangazaji weweee mungu anakuona 1
@
@jayratumaulid582منذ 4 سنوات Mtangazaji umenichekesha jaman daah 1
@
@lissapoul5227منذ 4 سنواتHakuna siku nimecheka kama leo..hawa watu walitakiwaga kuwa makomedi. 4
@
@shufaiyammohd5623منذ 4 سنواتHiii suti ya bwana harusi veeeepeeee mbona kubwa km blauzii 2
@
@shufaiyammohd5623منذ 4 سنواتKalklet ni calculate Duh.jamani
@
@jocyalex7957منذ 4 سنواتHakika kwenye ndoa huo kunakugombana na kupatana Mimi nakwanza nawapongeza nawaona niwatu ambao ni majasiri sana hamjali maneno yawatu endeleeni kupendana wapendwa
@
@utapatatabusanautanyooka2600منذ 4 سنواتYan Hawa ndoo wanawapa faida watu wamidiamataahila hawa 2
@
@chantalgakima2276منذ 4 سنواتHawa mataira wamenifanya nicheke kwa sauti 6
@
@roselinasandi6509منذ 4 سنواتAma kweli ndege wanaofanana huruka kw pamoja paaaaaa
@
@mamahusein4476منذ 4 سنواتSasa.bwana arusi anachibuaga ila ktk harusi ameshindwa kujichubua
Hustling is real.
Anyway I love the dress some1 should marry me please 6
Nawatakia ndoa njema 8
Duh.jamani
I love tz..stress free zone