المدة الزمنية 2:35

WAGANGA WA TIBA ASILIA TANGANYIKA WATOA ELIMU KUHUSU CORONA

بواسطة Mwananchi Digital
619 مشاهدة
0
7
تم نشره في 2020/04/06

Waganga wa tiba asilia katika halmashauri ya wilaya ya Tanganyika mkoa wa Katavi wanatoa elimu ya kujikinga na ugonjwa wa homa ya mapafu COVID-19 kwa wateja wao pindi wanapowahudumia.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1