المدة الزمنية 1:52

ELIMU YA MISITU YAOKOA EKARI ZILIZOVAMIA

بواسطة Mwananchi Digital
115 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2020/04/06

Wakala wa misitu TFS wilaya ya magu wameendelea na jitihada za kuhakikisha maeneo yaliyokuwa yamevamiwa kiholela na wananchi yanarejeshwa katika hali yake lakini zaidi utoaji wa elimu ya uhifadhi kwa wananchi ili waweze kuendesha shughuli zao za uzalishaji bila kuathiri mazao ya misitu.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0