المدة الزمنية 1:29

MASAUNI AWAAGIZA MAKAMANDA WA POLISI TANZANIA KUWAPA DHAMANA MAHABUSU WALIOKIDHI VIGEZO

بواسطة Mwananchi Digital
658 مشاهدة
0
6
تم نشره في 2020/04/04

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, amewaagiza makamanda wa polisi nchini, kuhakikisha wanawapa dhamana mahabusu waliokidhi vigezo ili kuondoa msongamano katika vituo hivyo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 2